Skip to main content

NI KWA NAMNA GANI BACTERIA (H.pyori) Husababisha vidonda vya TUMBO




-Bacteria, Helicobacter pylori/Campilobacter pylori_* anaweza kusafiri kutoka kwa mtu Mmoja kwenda kwa mwingine kupitia njia zifuatazo:
⤵⤵⤵

(a).đź“ŽKupitia mate (kunyonyana midomo)
(b).đź“ŽKupitia matapishi.
(c).đź“Ž Kupitia kinyesi
(d).đź“ŽKupitia chakula ama maji yaliyokuwa na bacteria hawa.

SABABU ZINAZOWEZA KUPELEKEA MTU KUAMBUKIZWA BACTERIA HAWA_ (H.pylori)

⚫ Kuishi mazingira yenye mikusanyiko mkubwa wa watu bila kuchukua tahadhar.
⚫ Kunywa maji yasiyokuwa safi.
⚫ Kula vyakula visivyooshwa mfano matunda na Mboga za majani.
⚫ Kuishi karibu na mtu mwenye vidonda vya tumbo bila kuchukua tahadhar.

H.pylori anapoingia katika mwili wa binadamu huathiri uzio mwenye kulinda ukuta wa tumbo na utumbo mdogo (protective mucous) hali hii hupelekea kudhoofika kwa kuta katika tumbo na utumbo mdogo. Ukuta huu unapodhoofika husababisha Tindikali (Asidi) inayozalishwa tumbo kuunguza na kuuchimba ukuta wa tumbo pia Bacteria hawa huchimba ukuta wa tumbo na KUSABABISHA kutokea vidonda katika ukuta wa tumbo na vidonda hivi ndivyo tunavyoviita vidonda vya TUMBO kwasababu vipo tumboni (Gastric Ulcers)

⚫ Bacteria huyu haathiriwi na Acid ya tumboni ( Hydrochloric acid~HCL) kwasababu ana uwezo wa kuzalisha kimeng`enya (Urease enzyeme) ambayo huungana na UREA kuzalisha AMMONIA ambayo huungana na Acid ya tumboni (HCL) kuzalisha Maji na AMMONIUM CHLORIDE ambayo haina uwezo wa kumuathiri huyu Bacteria. Hivyo bacteria huyu huzidi kujilinda kwa namna hii Mpaka hufikia hatua ukuta wa tumbo huchimbwa zaid na huyu Bacteria huzid kuingia ndan zaid ya tumbo ambapo acid hushindwa kumuathiri na hali hii husababisha vidonda vya TUMBO kuzid na KUSABABISHA mgonjwa kuwa na hali mbaya zaid.

⚫ Huyu Bacteria huathiri zaid kwa pamoja na Acid ya tumbo na hufikia hatua mgonjwa huweza kupata Kansa ya tumbo/Kansa ya Utumbo mdogo.



DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO 

KAMA UNASUMBULIWA NA 
🍂gesi na mingurumo
🍂kiungulia
🍂tumbo kuwaka moto
🍂kuchefuchefu
🍂mgongo ,kiuno, na maumivu 
🍂hofu na kukosa usingizi
🍂kukosa hamu ya kula
🍂ganzi 
🍂kupungukiwa nguvu za kijinsia
🍂Choo kukatika kama mbuzi 
🍂kuharisha na kukosa choo 
🍂vichomi na kuhara damu
🍂kutapika

Na umetumia dawa nyingi kwa muda mrefu bila matokeo chanya BASI SASA NI MWISHO WA MATATIZO HAYO

Mimi ni TABIBU LIWAYA kutoka LIWAYA HERBAL CLINIC ninawasaidia watu ambao wanasumbuliwa na vidonda vya
tumbo kwa kuwapatia ELIMU, USHAURI NA TIBA. Kwa
upande wa tiba yetu ni inatibu aina zote na hatua zote za
VIDONDA VYA TUMBO na ni dozi ya siku 27 tu baada ya
siku chache (5) ya kutumia tiba yetu utaweza kula kila kitu
bila matatizo yeyote.

TUNAPATIKANA - ILALA MTAA WA PANGANI NA UTETE, DSM
MAWASILIANO – 0755162726

NB:WAHI MATIBABU VIDONDA VYA TUMBO VINATIBIKA KWA UWEZO WA MUNGU, MUHIMU KUTUMIA NA KUZINGATIA MAELEKEZO UTAKAYOPATIWA WAKATI UNATUMIA DAWA 

Naomba unipigie kwa msaada wa haraka. 0755162724


KARIBUNI.

Comments

Popular posts from this blog

UGONJWA WA NGIRI AU HERNIA

UGONJWA WA NGIRI AU HERNIA Hernia mara nyingi huwapata wanaume, Wengi waliokumbwa na ugonjwa huu hukosa tiba sahihi na kujikuta wanaangukia kwenye kufanyiwa upasuaji (Operation). Ugonjwa wa ngiri hujitokeza wakati sehemu ya utumbo inapoteleza na kupenya katika kiwambo cha msuli wa utumbo, na kuingia katika kende moja wapo, au sehemu ya juu ya paja. Pia hujitokneza pale kiwambo cha msuli unaotenganisha mapafu na utumbo kinapotoboka na kusababisha majimaji kwenye sehemu ya juu ya utumbo au sehemu ya chini ya mapafu. AINA ZA NGIRI Kutokana na tabia ya ugonjwa wa mshipa wa ngiri kujitokeza katika maeneo mbalimbali ya mwili, kwahiyo aina ya ngiri/Hernia hutegemea na sehemu ngiri ilipojitokeza: ▪️ Ngiri maji. -Hii ni aina ya ngiri ijulikanayo pia kwa kitaalamu kama (hydrocele) ▪️Ngiri kavu (Hernia). -Hujulikana pia kama ‘fermoral hernia’ kwa wanawake na huitwa ‘scrotal hernia’ kwa wanaume ▪️ Ngiri ya kwenye kifua - Hujulikana pia kitaalamu kama ‘hiatus hernia’ ▪️ Ngiri ya tumbo -hujulikana p...

MADHARA YA ZA KUBOOST NGUVU ZA KIUME

JE, KUNA MADHARA YOYOTE KUTUMIA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU KWA MUDA ? (DAWA ZA KOBOOST NGUVU KWA MUDA) Nimekuwa nikipokea swali hili ,"mimi natumia sana dawa kuboost au kunipa nguvu ninapohitaji kwenda kufanya mapenzi. Je, kuna madhara yoyote?." Mwingine anauliza .."samahan mimi nimetumia sana dawa za kunipa hamu wakati wa tendo la ndoa lakini saizi najikuta siwezi kabisa uume hauna nguvu hata nikitumia dawa nilizozoea kutumia bado sipati nguvu, je tatizo nini?" Mwingine huyu hapa, "Kila nikihitaji kufanya sex lazima nitumie mkongo ,au vumbi la kongo. Je wewe una dawa ya kutibu tatizo moja kwa moja mpaka nikawa na nguvu za kiume vizuri niachane na mkongo kabisa?" Jamani hayo hapo ni baadhi tu ya maswali mengi ninayoulizwa, na nimetambua kuwa zaidi ya wanaume 25,000 ambao nawapa elimu hii, idadi kubwa sana wamekumbwa na tatizo hili la uraibu (addiction) wa kutumia dawa za kuboost uwezo wa kufanya sex, wengine wanatumia vidonge vya kizungu kama Viagra, wengine ...

ZIFAHAMU FAIDA MUHIMU ZA ASALI

Asali inafahamika kwa muda mrefu kama chakula muhimu ambacho pia kinasaidia sana katika kupambana na magonjwa mbalimbali na matatizo yatokanayo na uzee. Kwa mujibu wa tafiti mpya za wataalamu wa madawa lishe na vifaa tiba, jarida la World News limeandika kuwa asali inauwezo mkubwa wa kutibu kama itachanganywa na mdalasini. Asali ikishachanganywa na mdalasini pamoja na mafuta ya vuguvugu ya mzaituni, hutoa kichocheo maridhawa cha kuotesha nywele kinachotumika katika dawa ya Dork ambapo mchanganyiko huo unapakwa kwa kusugua kichwani na kuachwa kwa dakika 15. Kwa mujibu wa watafiti wa madawa tiba, Dk Alexander Andreyed na Eric Vogelmann, amesema madhara yaletwayo na vyakula vyenye mafuta mwilini yanaweza kudhibitiwa kwa kiasi kikubwa kwa matumizi ya mara kwa mara ya chai iliyoungwa kwa kutumia mchanganyiko wa asali na mdalasini. Ugunduzi wao huo, uliyakinishwa vema kwenye jarida mashuhuri linalozungumzia masuala ya tiba la nchini Denmark la Julai 1994. Uchunguzi mwingine pia umeonesha kwa...