-Bacteria, Helicobacter pylori/Campilobacter pylori_* anaweza kusafiri kutoka kwa mtu Mmoja kwenda kwa mwingine kupitia njia zifuatazo:
⤵⤵⤵
(a).đź“ŽKupitia mate (kunyonyana midomo)
(b).đź“ŽKupitia matapishi.
(c).đź“Ž Kupitia kinyesi
(d).đź“ŽKupitia chakula ama maji yaliyokuwa na bacteria hawa.
SABABU ZINAZOWEZA KUPELEKEA MTU KUAMBUKIZWA BACTERIA HAWA_ (H.pylori)
⚫ Kuishi mazingira yenye mikusanyiko mkubwa wa watu bila kuchukua tahadhar.
⚫ Kunywa maji yasiyokuwa safi.
⚫ Kula vyakula visivyooshwa mfano matunda na Mboga za majani.
⚫ Kuishi karibu na mtu mwenye vidonda vya tumbo bila kuchukua tahadhar.
H.pylori anapoingia katika mwili wa binadamu huathiri uzio mwenye kulinda ukuta wa tumbo na utumbo mdogo (protective mucous) hali hii hupelekea kudhoofika kwa kuta katika tumbo na utumbo mdogo. Ukuta huu unapodhoofika husababisha Tindikali (Asidi) inayozalishwa tumbo kuunguza na kuuchimba ukuta wa tumbo pia Bacteria hawa huchimba ukuta wa tumbo na KUSABABISHA kutokea vidonda katika ukuta wa tumbo na vidonda hivi ndivyo tunavyoviita vidonda vya TUMBO kwasababu vipo tumboni (Gastric Ulcers)
⚫ Bacteria huyu haathiriwi na Acid ya tumboni ( Hydrochloric acid~HCL) kwasababu ana uwezo wa kuzalisha kimeng`enya (Urease enzyeme) ambayo huungana na UREA kuzalisha AMMONIA ambayo huungana na Acid ya tumboni (HCL) kuzalisha Maji na AMMONIUM CHLORIDE ambayo haina uwezo wa kumuathiri huyu Bacteria. Hivyo bacteria huyu huzidi kujilinda kwa namna hii Mpaka hufikia hatua ukuta wa tumbo huchimbwa zaid na huyu Bacteria huzid kuingia ndan zaid ya tumbo ambapo acid hushindwa kumuathiri na hali hii husababisha vidonda vya TUMBO kuzid na KUSABABISHA mgonjwa kuwa na hali mbaya zaid.
⚫ Huyu Bacteria huathiri zaid kwa pamoja na Acid ya tumbo na hufikia hatua mgonjwa huweza kupata Kansa ya tumbo/Kansa ya Utumbo mdogo.
DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO
KAMA UNASUMBULIWA NA
🍂gesi na mingurumo
🍂kiungulia
🍂tumbo kuwaka moto
🍂kuchefuchefu
🍂mgongo ,kiuno, na maumivu
🍂hofu na kukosa usingizi
🍂kukosa hamu ya kula
🍂ganzi
🍂kupungukiwa nguvu za kijinsia
🍂Choo kukatika kama mbuzi
🍂kuharisha na kukosa choo
🍂vichomi na kuhara damu
🍂kutapika
Na umetumia dawa nyingi kwa muda mrefu bila matokeo chanya BASI SASA NI MWISHO WA MATATIZO HAYO
Mimi ni TABIBU LIWAYA kutoka LIWAYA HERBAL CLINIC ninawasaidia watu ambao wanasumbuliwa na vidonda vya
tumbo kwa kuwapatia ELIMU, USHAURI NA TIBA. Kwa
upande wa tiba yetu ni inatibu aina zote na hatua zote za
VIDONDA VYA TUMBO na ni dozi ya siku 27 tu baada ya
siku chache (5) ya kutumia tiba yetu utaweza kula kila kitu
bila matatizo yeyote.
TUNAPATIKANA - ILALA MTAA WA PANGANI NA UTETE, DSM
MAWASILIANO – 0755162726
NB:WAHI MATIBABU VIDONDA VYA TUMBO VINATIBIKA KWA UWEZO WA MUNGU, MUHIMU KUTUMIA NA KUZINGATIA MAELEKEZO UTAKAYOPATIWA WAKATI UNATUMIA DAWA
Naomba unipigie kwa msaada wa haraka. 0755162724
KARIBUNI.
Comments