UNAPENDA KUWA NA UUME IMARA? TWENDE PAMOJA HAPA👇
● Endapo mtu mwenye tatizo la Uume mlegevu akatumia baadhi ya matunda kwa utaratibu maalum, huweza kusaidia kuimarisha mishipa na misuli ya Uume kwa haraka zaidi. Baadhi ya matunda hayo ni;
1:NDIZI MBIVU/ BANANA
Ulaji wa ndizi mbivu husaidia kujenga uimara wa misuli ya uume na kuongeza ufanisi katika tendo la ndoa kupitia madini yake ya Sucrose, Fructose na Glucose
Ndizi husaidia Mfumo wa Mmengenyo wa Chakula
Unajua kitambi kinasababishwa na nini ni wingi wa mafuta ambayo yapo mwilini yameshindwa kuchanywa vizuri na mfumo wa mmengenyo sasa sikia ndizi inasaidia mfumo wa chakula kufanya kazi yake vizuri na kwa haraka sasa unapokula ndizi inaenda kuongeza nguvu kwenye mfumo huu na mafuta ambayo yanashindwa kutumika mwilini yatatumika kwa kiasi kwenye mfumo huu hivyo kukusaidia kwenye mambo ya kitandani maana mlundikano wa mafuta husababisha Presha inayozuia kufanya vizuri kitandani.
2:TIKITI MAJI
Tikiti maji tunda hili lenye virutubisho muhimu kama vile Calcium, Magnesium, Carotene na vitamin lukuki ikiwemo A, B6 na C ambavyo kwa pamoja hutengeneza virutubisho muhimu ambavyo vinasaidia kuboresha mzunguko wa damu hivyo kurahisisha damu kutiririka Kwa Kasi kwenye Uume.
Ingawa unashauliwa utafune pia pamoja na mbegu zake kupata faida lukuki
3:PARACHICHI/AVOCADO
(3). Parachichi : Huzalisha Vitamin E ambayo husaidia katika uzalishaji wa homoni zinazochochea kuongezeka kwa uimara wa misuli ya Uume na kuleta msisimko wa hali ya juu wakati wa kushiriki tendo la ndoa.
FAIDA ZA KULA PARACHICHI KWA WANAUME.
★Husaidia kuimarisha mfumo wa uzazi kutokana na uwepo wa vitamin E, ambayo hutoa kinga dhidi ya sumu mwilini (Antioxidant) hasa kwa wanaume wenye changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume.
★Husaidia kuongeza hamu ya tendo la ndoa. Hii ni kutokana na uwepo wa nishati, Omega 3 na vitamin B6 ambayo huchochea hisia au hamu ya tendo la ndoa na kuufanya uume kusimama kwa muda mrefu (sex drive, libido booster and longer lasting on bed)
★Huongeza ubora wa mbegu za kiume na kuzifanya ziwe na uwezo wa kutungisha mimba (fertility)
★Husaidia kubalansi (balance) mzunguko wa damu, kutokana na uwepo kwa wingi wa Madini ya potassium hivyo kuzuia shambulio la moyo (heart attack)
★Husaidia mmeng'enyo wa vyakula kuwa mzuri na wenye ufanisi.
● Note; matunda yaliyotajwa hapo JUU! Ni matunda ambayo hayana Gharama Kubwa sana na yanapatikana Kwa wingi sana kwenye jamii zetu, Kwa hiyo ni vyema tukajenga Tabia ya kuyatumia bila kuchoka
Na Ukijenga Tabia ya kuyala Kila siku! Yani Kwa muda wa mwezi mmoja utaona mabadiliko makubwa sana kwenye Uume wako!
● Pia tunajua kwamba dunia imebadilika sana, matunda mengi tunayokula kwenye maisha yetu ya Kila siku Huwa yanaandaliwa kwenye njia Hatarishi kama utumiaji wa mbolea zenye kemikali na utumiaji wa Dawa za kuua wadudu jambo linalopelekea matunda mengi kupoteza Virutubisho asilia!
● Na hii hupelekea Wanaume Wengi kula matunda haya bila Kupata matokeo mazuri tunayo hitaji!
Tanzania
Dar es salaam
Dr Liwaya
0755162724
🌿🌿🌿MWISHO🌿🌿🌿
Comments