Skip to main content

MATUNDA YENYE KUIMARISHA NGUVU ZA KIUME

 UNAPENDA KUWA NA UUME IMARA? TWENDE PAMOJA HAPA👇



● Endapo mtu mwenye tatizo la Uume mlegevu akatumia baadhi ya matunda kwa utaratibu maalum, huweza kusaidia kuimarisha mishipa na misuli ya Uume kwa haraka zaidi. Baadhi ya matunda hayo ni;


   1:NDIZI MBIVU/ BANANA


 Ulaji wa ndizi mbivu husaidia kujenga uimara wa misuli ya uume na kuongeza ufanisi katika tendo la ndoa kupitia madini yake ya Sucrose, Fructose na Glucose

Ndizi husaidia Mfumo wa Mmengenyo wa Chakula

Unajua kitambi kinasababishwa na nini ni wingi wa mafuta ambayo yapo mwilini yameshindwa kuchanywa vizuri na mfumo wa mmengenyo sasa sikia ndizi inasaidia mfumo wa chakula kufanya kazi yake vizuri na kwa haraka sasa unapokula ndizi inaenda kuongeza nguvu kwenye mfumo huu na mafuta ambayo yanashindwa kutumika mwilini yatatumika kwa kiasi kwenye mfumo huu hivyo kukusaidia kwenye mambo ya kitandani maana mlundikano wa mafuta husababisha Presha inayozuia kufanya vizuri kitandani.

          2:TIKITI MAJI

            

 Tikiti maji tunda hili lenye virutubisho muhimu kama vile Calcium, Magnesium, Carotene na vitamin lukuki ikiwemo A, B6 na C ambavyo kwa pamoja  hutengeneza virutubisho muhimu ambavyo vinasaidia kuboresha mzunguko wa damu hivyo kurahisisha damu kutiririka Kwa Kasi kwenye Uume.

Ingawa unashauliwa utafune pia pamoja na mbegu zake kupata faida lukuki

3:PARACHICHI/AVOCADO



(3). Parachichi : Huzalisha Vitamin E ambayo husaidia katika uzalishaji wa homoni zinazochochea kuongezeka kwa uimara wa misuli ya Uume na kuleta msisimko wa hali ya juu wakati wa kushiriki tendo la ndoa.      

FAIDA ZA KULA PARACHICHI KWA WANAUME.

★Husaidia kuimarisha mfumo wa uzazi kutokana na uwepo wa vitamin E, ambayo hutoa kinga dhidi ya sumu mwilini (Antioxidant) hasa kwa wanaume wenye changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume.

★Husaidia kuongeza hamu ya tendo la ndoa. Hii ni kutokana na uwepo wa nishati, Omega 3 na vitamin B6 ambayo huchochea hisia au hamu ya tendo la ndoa na kuufanya uume kusimama kwa muda mrefu (sex drive, libido booster and longer lasting on bed)

★Huongeza ubora wa mbegu za kiume na kuzifanya ziwe na uwezo wa kutungisha mimba (fertility)

★Husaidia kubalansi (balance) mzunguko wa damu, kutokana na uwepo kwa wingi wa Madini ya potassium hivyo kuzuia shambulio la moyo (heart attack)

★Husaidia mmeng'enyo wa vyakula kuwa mzuri na wenye ufanisi.


● Note; matunda yaliyotajwa hapo JUU! Ni matunda ambayo hayana Gharama Kubwa sana na yanapatikana Kwa wingi sana kwenye jamii zetu, Kwa hiyo ni vyema tukajenga Tabia ya kuyatumia bila kuchoka


Na Ukijenga Tabia ya kuyala Kila siku! Yani Kwa muda wa mwezi mmoja utaona mabadiliko makubwa sana kwenye Uume wako!


● Pia tunajua kwamba dunia imebadilika sana, matunda mengi tunayokula kwenye maisha yetu ya Kila siku Huwa yanaandaliwa kwenye njia Hatarishi kama utumiaji wa mbolea zenye kemikali na utumiaji wa Dawa za kuua wadudu jambo linalopelekea matunda mengi kupoteza Virutubisho asilia!


● Na hii hupelekea Wanaume Wengi kula matunda haya bila Kupata matokeo mazuri tunayo hitaji!


Tanzania

Dar es salaam

Dr Liwaya

0755162724


             đźŚżđźŚżđźŚżMWISHO🌿🌿🌿

Comments

Popular posts from this blog

DAWA YA KUTIBU JINO UKIWA NYUMBANI

DAWA YA KUTIBU MENO KWA HARAKA NA UHAKIKA Dawa hii imeniponesha mm mwenyewe nilikuwa nasumbuliwa na jino la juu na ndipo nilipoamua kuandaa dawa hii na imenitibu kwa HARAKA na ufanisi wa Hall ya juu sana na bado sijapatapo kuona dawa nzuri kama hii,huna haja ya kung'oa meno yako baada ya kuifahamu dawa hii eti kwasababu yanauma Mahitaji 1.✍ Mafuta ya karafuu/clove oil. 2.✍ mafuta ya Nazi/coconut oil. 3.✍ Kitunguu maji. 4.✍ Kitunguu swaum. 5.✍ Pilipili manga. 6.Chumvi ya mawe/unga wake MAANDALIZI Ponda ponda Kitunguu maji,Kitunguu swaumu,chumvi ya mawe na pilipili manga kisha changanya na mafuta na Nazi na mafuta ya karafuu kwa kiasi kidogo (robo kijiko kidogo cha chai) kisha chukua mchanganyiko huu kisha uweke juani kwa muda wa dakika 15 kisha toa juani MATUMIZI 1.ikiwa jino lina tundu chukua uji uji wa mchanganyiko huu kisha weka katika tundu na mafuta yake yapakaae pembezoni mwa jino linalouma. 2.ikiwa jina halina tundu pakaa mafuta ya mchanganyiko huu pembezoni kulizunguka jino...

TATIZO LA KUFUNGA CHOO NA KUPATA CHOO KIGUMU

Tatizo la kufunga choo au kupata choo kigumu ni jambo tunalolikwepa kwenye mazungumzo yetu ya kila siku. Hata hivyo ni tatizo kubwa katika jamii na mbaya zaidi wengi hawajuwi madhara yake ni nini ya kuendelea kulivumilia tatizo hili. Kupata choo kigumu au kufunga choo ni ishara ya tatizo lingine baya zaidi mwilini. Kama kuna jambo unapaswa uliepuke kwa nguvu zote basi ni hili. Kwa afya bora kabisa hakikisha unapata choo kila siku mara 2 hata mara 3. Choo kilaini siyo kigumu na chenye maumivu. Wakati mwingine utakapopata tatizo hili naomba usiwe na aibu kulisema wazi hata kwa boss wako ili upate matibabu kwa haraka. Kufunga choo au kupata choo kigumu ndiyo CHANZO KIKUU CHA UGONJWA WA BAWASIRI kwa waTanzania wengi na hii inachangiwa kwa sehemu kubwa kwa kula ugali wa sembe na kutokunywa maji mengi kila siku. Pamoja na hayo, hakuna ugonjwa rahisi kutibika kama huu ikiwa utaamua kushughulisha kichwa chako kidogo hasa kwa kuangalia unakula na kunywa nini kila siku. Inatakiwa ifahamike kuwa ...

NI KWA NAMNA GANI BACTERIA (H.pyori) Husababisha vidonda vya TUMBO

-Bacteria, Helicobacter pylori/Campilobacter pylori_* anaweza kusafiri kutoka kwa mtu Mmoja kwenda kwa mwingine kupitia njia zifuatazo: ⤵⤵⤵ (a).📎Kupitia mate (kunyonyana midomo) (b).📎Kupitia matapishi. (c).📎 Kupitia kinyesi (d).📎Kupitia chakula ama maji yaliyokuwa na bacteria hawa. SABABU ZINAZOWEZA KUPELEKEA MTU KUAMBUKIZWA BACTERIA HAWA_ (H.pylori) ⚫ Kuishi mazingira yenye mikusanyiko mkubwa wa watu bila kuchukua tahadhar. ⚫ Kunywa maji yasiyokuwa safi. ⚫ Kula vyakula visivyooshwa mfano matunda na Mboga za majani. ⚫ Kuishi karibu na mtu mwenye vidonda vya tumbo bila kuchukua tahadhar. H.pylori anapoingia katika mwili wa binadamu huathiri uzio mwenye kulinda ukuta wa tumbo na utumbo mdogo (protective mucous) hali hii hupelekea kudhoofika kwa kuta katika tumbo na utumbo mdogo. Ukuta huu unapodhoofika husababisha Tindikali (Asidi) inayozalishwa tumbo kuunguza na kuuchimba ukuta wa tumbo pia Bacteria hawa huchimba ukuta wa tumbo na KUSABABISHA kutokea vidonda katika ukuta wa tumbo...