Skip to main content

UGONJWA WA NGIRI AU HERNIA

UGONJWA WA NGIRI AU HERNIA


Hernia mara nyingi huwapata wanaume, Wengi waliokumbwa na ugonjwa huu hukosa tiba sahihi na kujikuta wanaangukia kwenye kufanyiwa upasuaji (Operation). Ugonjwa wa ngiri hujitokeza wakati sehemu ya utumbo inapoteleza na kupenya katika kiwambo cha msuli wa utumbo, na kuingia katika kende moja wapo, au sehemu ya juu ya paja. Pia hujitokneza pale kiwambo cha msuli unaotenganisha mapafu na utumbo kinapotoboka na kusababisha majimaji kwenye sehemu ya juu ya utumbo au sehemu ya chini ya mapafu.

AINA ZA NGIRI
Kutokana na tabia ya ugonjwa wa mshipa wa ngiri kujitokeza katika maeneo mbalimbali ya mwili, kwahiyo aina ya ngiri/Hernia hutegemea na sehemu ngiri ilipojitokeza:

▪️ Ngiri maji. -Hii ni aina ya ngiri ijulikanayo pia kwa kitaalamu kama (hydrocele)

▪️Ngiri kavu (Hernia). -Hujulikana pia kama ‘fermoral hernia’ kwa wanawake na huitwa ‘scrotal hernia’ kwa wanaume

▪️ Ngiri ya kwenye kifua
- Hujulikana pia kitaalamu kama ‘hiatus hernia’

▪️ Ngiri ya tumbo
-hujulikana pia kama ‘Abdominal Hernia’

▪️ Ngiri ya kwenye kitovu
-Hujulikana pia kama ‘Umbilical Hernia”

▪️ Ngiri ya sehemu ya haja kubwa
-Hujulikana pia kama ‘Anal Hernia’

SABABU ZINAZOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA NGIRI ( KUJITOKEZA KWA ORGAN AMA TISSUE KUPITIA ENEO DHAIFU/TUNDU: 

Uzito kupita kiasi, Tumbo kujaa maji, Kujisaidia choo kigumu, Kunyanyua vitu vizito(Kufanya kazi ngumu), Ujauzito kwa wanawake, Kikohozi sugu (Chronic Obstructive Pulmonary Disorder), Kuumia kutokana na majeraha ya kawaida ama upasuaji, Umri Mkubwa, Uvutaji sigara, na Kurithi (vinasaba kubeba ugonjwa huu).

DALILI ZA MTU MWEMYE NGIRI

 Dalili za ugonjwa huu wa ngiri ziko nyingi sana kwa hiyo hapa nitataja dalili chache tu.

Nazo ndizo hizi zifuatazo⤵

1Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.

2.Kupiga mingurumo tumboni.

3.Kujaa gesi tumboni.

4.Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.

5.Kupata haja ngumu kama ya mbuzi.

6.Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.

7.Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.

8.Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.

9.Nuru ya macho hupotea taratibu.

10.Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.

11.Huvutwa makende au upande mmoja maumivu.

12.Hupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.

13.Maumivu makali ya mgongo au kiuno

14.Uume kusimyaa na kunywea kama wa mtoto

15 .Maumivu kati ya paja na kinena na hupelekea mguu kuwaka moto /kupata ganzi 

16. Kupata maumivu katikati ya kifua mithili ya chembe ya moyo (hiatal hernia)

17. Tumbo kujaa na kuonekana kama una kitambi kumbe ni gas.

18. Ukila vitu vyevye sukari nying kama soda nk tumbo huunguruma sana na kujaa gas

19. Kuvimba kwa korodan ama korodan kupanda juu(moja ama zote kwa pamoja)

MADHARA YA KUKAA NA NGIRI KWA MUDA MREFU

Kukaa na Ngiri/hernia kwa muda mrefu inaweza kupelekea matatizo yafuatayo:⤵⤵⤵⤵⤵⤵

1. Inaweza kusababisha Utasa ( Kushindwa kutungisha Ujauzito)

2.Kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurejea tendo kwa wakati

3.Dhakari kurudi ndan na kuwa na dhakari ndogo kama ya mtoto mdogo

4. Kushindwa kumridhisha mke wakati wa tendo la ndoa kutokana na ulegevu na udogo wa dhakar

5.Dhakar kusimama kwa ulegevu na hufikia hatua dhakar hushindwa kabsa kusimama.

6.Kuathirika kisaikolojia hivyo inaweza kumsababishia mhusika kupata matatzo mengine kutokana na mawazo ,kama vile magonjwa ya moyo(CVDs),Vidonda vya tumbo(PUD) nk

7.Upungufu wa nguvu za kiume hii hutokana na kulegea kwa misuli ya uume na kupelekea uume kuwa legelege

8.Kupata bawasiri kutokana na kupata choo kigumu (kuota kinyama sehemu ya haja kubwa)Ndugu zangu wenye dalili tajwa hapo juu msipuuzie hata kidogo kwan ngiri ni sababu kubwa sana katika kusababisha matatzo ya uzazi kwa mwanaume.

SEHEMU AMBAZO NGIRI INAWEZA KUTOKEA NI;


I. Tumboni
II. Eneo la kinena
III. Eneo la paja kwa juu
IV. Eneo ambalo mtu amewahi kufanyiwa upasuaji siku za nyuma
V. Kifuani n.k



NGIRI ni hali yenye kusababisha maumivu makali sana na mara nyingi huhitaji tiba ya haraka zaidi hata hivo unaweza kuzuwia kupata tatizo hili katika siku za usoni, pamoja na kuyatibu maumivu yanayosababishwa na tatizo hili kwa njia za kiasili na kupona kabisa, kwani ni wengi walougua tatizo hili na wamepona, baada ya kupata tiba. Ugonjwa huu wa ngiri unawapata watu wa jinsia zote na wa umri wowote.


NGIRI SUGU ni dawa ya mimea iliyothibitika kutibu mshipa wa ngiri/Hernia bila upasuaji. Dawa 
hii haina madhara hasi(Negative effects) kwa mtumiaji.

WASILIANA Nami kwa Tiba na Maelezo Zaidi. 

Piga Simu namba: 0755162724 au 

 TUNAPATIKANA--ILALA BOMA MTAA WA PANGANI NA UTETE

Comments

Popular posts from this blog

ZIJUE FAIDA,MADHARA YA KITUNGUU SWAUMU KATIKA MWILI WA BINADAMU

MAGONJWA YANAYOTIBIKA KUPITIA KITUNGUU SAUMU Huyeyusha mafuta mwilini (kolestro) Husafisha njia ya mkojo na kutibu U.T.I Hutibu amoeba, minyoo na Bakteria wengine Huzuia kuhara damu (Dysentery) Huondoa Gesi tumboni Hutibu msokoto wa tumbo Hutibu Typhoid Huondoa mabaka mabaka kwenye ngozi Hutibu mafua na malaria Hutibu kifua kikuu (ukitumia kitunguu swaumu kesho yake unaweza kutokwa na makohozi mengi tu ambayo ni ishara kwamba kweli kinatibu kifua kikuu (TB) Hutibu kipindupindu Hutibu upele Huvunjavunja mawe katika figo Hutibu mba kichwani Huupa nguvu ubongo. Kazi nzuri niliyopenda zaidi katika kitunguu swaumu. Huzuia meno kung’ooka na kutuliza maumivu Huongeza SANA nguvu za kiume pia hutibu uanithi (kushindwa kusimama kabisa uume) Hutibu maumivu ya kichwa Hutibu kizunguzungu Hutibu shinikizo la juu la damu Huzuia saratani/kansa Hutibu maumivu ya jongo/gout Huuongezea nguvu mfumo wa mmeng’enyo wa chakula Huongeza hamu ya kula Huzuia damu kuganda Husaidia kutibu kisukari Husaidia kutibu ...

TATIZO LA KUFUNGA CHOO NA KUPATA CHOO KIGUMU

Tatizo la kufunga choo au kupata choo kigumu ni jambo tunalolikwepa kwenye mazungumzo yetu ya kila siku. Hata hivyo ni tatizo kubwa katika jamii na mbaya zaidi wengi hawajuwi madhara yake ni nini ya kuendelea kulivumilia tatizo hili. Kupata choo kigumu au kufunga choo ni ishara ya tatizo lingine baya zaidi mwilini. Kama kuna jambo unapaswa uliepuke kwa nguvu zote basi ni hili. Kwa afya bora kabisa hakikisha unapata choo kila siku mara 2 hata mara 3. Choo kilaini siyo kigumu na chenye maumivu. Wakati mwingine utakapopata tatizo hili naomba usiwe na aibu kulisema wazi hata kwa boss wako ili upate matibabu kwa haraka. Kufunga choo au kupata choo kigumu ndiyo CHANZO KIKUU CHA UGONJWA WA BAWASIRI kwa waTanzania wengi na hii inachangiwa kwa sehemu kubwa kwa kula ugali wa sembe na kutokunywa maji mengi kila siku. Pamoja na hayo, hakuna ugonjwa rahisi kutibika kama huu ikiwa utaamua kushughulisha kichwa chako kidogo hasa kwa kuangalia unakula na kunywa nini kila siku. Inatakiwa ifahamike kuwa ...

UGONJWA WA KIHARUSI, CHANZO, DALILI NA TIBA YAKE ASILIA.

Pengine umekuwa ukisikia sehemu mbalimbali kuhusu tatizo la kiharusi lakini bado hukuwahi kusoma na kuelewa vizuri. Karibu katika mfululizo wa makala zetu ambapo utajifunza nini maana ya kiharusi, aina za kiharusi, nini chanzo ama visababishi vyake. jinsi gani upunguze hatari ya kupata ugonjwa huu na huduma ya dawa za virutubisho ambavyo vitakusaidia kuondoa athari za tatizo. Maelezo Ya Utangulizi Kwa Tatizo La Stroke Kiharusi au stroke hutokea bila kutoa kiashiria chochote. Na ndio maana kuchukua tahadhari za kuepuka kutokea kwa tatizo ni muhimu zaidi. Kwasababu endapo utapata kiharusi na kwa bahati njema mwili ukaendela kufanya kazi basi matokeo na madhara yake yatakusumbua sana maisha yote. Kuepuka madhara makubwa ya kiharusi mgonjwa anahitajika kutibiwa ndani ya saa moja baada ya kupata shambulizi. Hakikisha pia unafika haraka hospitali kama ukigundua moja ya dalili zifuatazo zimekutokea bila kutaraji. Kushindwa ghafla kutembea na kupoteza balansi ya mwili. Kuchanganyikiwa ghafla n...