Skip to main content

MADHARA YA ZA KUBOOST NGUVU ZA KIUME

JE, KUNA MADHARA YOYOTE KUTUMIA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU KWA MUDA ? (DAWA ZA KOBOOST NGUVU KWA MUDA)


Nimekuwa nikipokea swali hili ,"mimi natumia sana dawa kuboost au kunipa nguvu ninapohitaji kwenda kufanya mapenzi. Je, kuna madhara yoyote?."

Mwingine anauliza .."samahan mimi nimetumia sana dawa za kunipa hamu wakati wa tendo la ndoa lakini saizi najikuta siwezi kabisa uume hauna nguvu hata nikitumia dawa nilizozoea kutumia bado sipati nguvu, je tatizo nini?"

Mwingine huyu hapa, "Kila nikihitaji kufanya sex lazima nitumie mkongo ,au vumbi la kongo. Je wewe una dawa ya kutibu tatizo moja kwa moja mpaka nikawa na nguvu za kiume vizuri niachane na mkongo kabisa?"

Jamani hayo hapo ni baadhi tu ya maswali mengi ninayoulizwa, na nimetambua kuwa zaidi ya wanaume 25,000 ambao nawapa elimu hii, idadi kubwa sana wamekumbwa na tatizo hili la uraibu (addiction) wa kutumia dawa za kuboost uwezo wa kufanya sex, wengine wanatumia vidonge vya kizungu kama Viagra, wengine mkongo nk.

Lakini swali linakuja je kuna madhara yoyote?

Jibu ni ndiyo kuna madhara makubwa sana kiafya.

Wanaume wengi ninaozungumza nao wanasema kinachowavuta kutumia dawa hizo ni
- Wanakosa hamu ya tendo la ndoa. Hata mwanamke akiwepo hamu inapotea
- Wanawahi sana kumaliza. Dakika moja,mbili tatu umemaliza.
- Uume unasimama vizuri ila unakuwa legelege
- Wanakosa uwezo wa kurudia bao la pili, la tatu na kuendelea
- Wanakosa nguvu za kiume kwa ujumla

Madhara yenyewe ni haya hapa👇👇

1️⃣ UNAPOTUMIA DAWA HIZO UNATENGENEZA UBONGO NA MWILI WAKO KUWA TEGEMEZI. 


Ubongo ndio huongoza mwili na kuratibu shughuli zote za mwili ikiwa ni pamoja na sex. Kwahiyo ubongo ukizoea kuongoza mwili wako ufanye sex ukiwa umetumia dawa hizo za kuboost, maana yake ni kwamba miaka yote wewe bila kutumia dawa huwezi.

Pia unakuwa na woga sana, kwamba usipotumia dawa huwezi. Unaanza kujidharau, na kukosa furaha , wengine mashahidi humu kuna wanawake wengine wakikugundua kuwa unatumia hizo dawa kabla ya kufa mapenzi wanakuonesha dharau,matusi hadi kuachana kabisa.

2️⃣ UNAPOTUMIA VIDONGE HIVYO UNAKUSANYA WINGI WA KEMIKALI MWILINI MWAKO AMBAZO KADIRI ZINAVYO RUNDIKANA HULETA MADHARA MAKUBWA KIAFYA. 

Zile dawa hutengenezwa kwa kutumia formula za kikemikali,ambazo hupelekea matatizo mengine kama vile ganzi, na kupooza upande mmoja wa mwili.

Hii husababishwa na zile kemikali au mabaki ya dawa, ambazo husafirishwa kwa damu na kwenda sehem za mikono, miguu na kichwani.

Kwahiyo kupoteza fahamu ,miguu kuuma na kufa ganzi, nk ni moja kati madhara ya kutumia dawa hizo. 

3️⃣ UNAUA KABISA UWEZO WAKO WA KUFANYA TENDO LA NDOA. KUNA WAKATI HUTOWEZA HATA KUSIMAMISHA UUME. 

Hamu ya tendo la ndoa ni mchakato mrefu, tutajifunza hapa.
Hivyo kwa kutumia dawa hizo unaharibu mwili kabisa na kupoteza uwezo wa kufanya mapenzi bila kutumia dawa, 

mwisho hupelekea kukosa nguvu kabisa hata kama utatumia dawa hutaona uume hauna nguvu wala haupati hamu ya tendo la ndoa.

4️⃣ UNAHARIBU UBORA WA MBEGU AU MANII HIVO HUPELEKEA UGUMBA.

Mbegu za kiume ili zianguliwe zikiwa bora hutegemea kile kinachoingia.

Na dawa hizi hufanya kazi kwenye mfumo mzima wa uzazi yaan korodan, mishipa yote ya uume, na tezi dume ambalo huhusika kutoa ule ute mlainii mweupe kabla ya kufanya mapenzi na wakati wa kutoa mbegu.

Sasa kama korodan zitaathirika, tezi dume, na mishipa basi mbegu pia hutoka zikiwa hazina ubora , chache, nyepesi kama maji maji, na hivyo ukipimwa utaambiwa hauna mbegu nzuri za kutungisha mimba. Unakaa ndani ya ndoa miaka mingi mtoto hakuna jiulize.

5️⃣ UNAHARIBU MISULI YA UUME WAKO, HIVYO KUNA WAKATI HATA UTUMIE DAWA MISULI HAITAWEZA KUWA NA NGUVU KABISA

Wakati unafanya mapenzi muda mrefu bila kumwaga kwa kusaidiwa na dawa unaona ni ufahari, lakini ukweli ni kwamba mishipa Ile ya uume Mungu aliiumba iweze kufanya kazi kwa muda sahihi ambao hauna madhara kwenye mishipa.

6️⃣ IKIWA MTUMIAJI ANA MAGONJWA MENGINE HUPELEKEA KIFO. HASA MAGONJWA SUGU KAMA MAGONJWA YA MOYO, PRESSURE, SUKARI.

Tendo la ndoa huhusisha mzunguko wa damu. Ikiwa utalazimisha damu izunguke kwa nguvu kuzidi uwezo wa mwili wako maanayake moyo utashindwa kufanya kazi kama inavyotakiwa.

Mwisho hupelekea mwili hukosa nguvu ghafla, hali ambayo hupelekea kifo cha ghafla.

7️⃣ MATUMIZI YA DAWA HIZO HUPELEKEA MATATIZO YA MACHO NA MASIKIO.

Mzunguko wa damu hupelekea kupekea zile sumu za dawa kufika mpaka kichwani kwenye mishipa ya masikio na macho. Hivyo husababisha kuathiri ubongo na mishipa inayopeleka taarifa sehem zote za kichwa , masikio na macho.hivyo maumivu ni hali ya hatari

8️⃣ MAUMIVU YA KICHWA YA MARA KWA MARA.

Kichwa kuuma kitaalam huashiria mambo mawili, moja ni kichwa kuuma kinatoa taarifa kuwa sehem flan kwenye mwili wako kuna tatizo la kiafya , inawezekana kwenye mfumo wa mzunguko wa damu au moyo au magonjwa mengine nje na magonjwa yatokanayo ma shida za moyo kushindwa kufanya kazi vizuri.

Pili kichwa kuuma ni kwamba kuna magonjwa yanayohusu kichwa chenyewe. Kama nilivoelezea kwenye dondoo #7

Kwahyo unapotumia dawa hizo tegemea kupata hali hiyo.

Ok
Kwahiyo kitaalam haishauriwi kutumia dawa hizo bila kuhusiwa na daktari, ni mpaka utakapopimwa na kupewa maelekezo sahihi ya kutumia, ikiwa ni pamoja na muda gani wa kutumia, na namna sahihi ya kutumia,na nini hupaswi kufanya ikiwa unatumia dawa hizo,

Pia kuna baadhi ya watu ambao hawaruhusiwi kabisa kuzitumia kwa namna yoyote ile.

Kwahiyo, daktari atakwambia utumie ikiwa kuna kuna ulazima kulingana na afya yako kwa ujumla. Pamoja na makatazo mengine atakayokupa ili uwe salama.

Ndani ya group hapa tutajifunza na masomo mengine nimekwisha anza kuwafundisha hapa tangu jana na leo njia rahisi za kutibu tatizo hilo.

kwa wale watakaofuatilia hatua kwa hatua na kuchukua hatua kufanyia kazi watapona kabisa kwasababu mmeona baadhi ya shuhuda za wanaume wachache waliozingatia.

Kutatua changamoto hiyo, tengeneza dawa ninazofundisha hapa tumia ukiwa nyumbani kwako.

Pia ikiwa unahitaji dawa ya kutibu tatizo moja kwa moja ipo, ninauza Ni dawa iliyotengenezwa kwa mimea tiba kwaajili ya kutatua changamoto hiyo moja kwa moja. waweza kuwasiliana nami kunifafanulia tatizo lako kwa kina zaidi

+255755162724
Dr Liwaya

Dar es salaam
Ilala boma
Pangani Street..

Comments

Popular posts from this blog

NI KWA NAMNA GANI BACTERIA (H.pyori) Husababisha vidonda vya TUMBO

-Bacteria, Helicobacter pylori/Campilobacter pylori_* anaweza kusafiri kutoka kwa mtu Mmoja kwenda kwa mwingine kupitia njia zifuatazo: ⤵⤵⤵ (a).📎Kupitia mate (kunyonyana midomo) (b).📎Kupitia matapishi. (c).📎 Kupitia kinyesi (d).📎Kupitia chakula ama maji yaliyokuwa na bacteria hawa. SABABU ZINAZOWEZA KUPELEKEA MTU KUAMBUKIZWA BACTERIA HAWA_ (H.pylori) ⚫ Kuishi mazingira yenye mikusanyiko mkubwa wa watu bila kuchukua tahadhar. ⚫ Kunywa maji yasiyokuwa safi. ⚫ Kula vyakula visivyooshwa mfano matunda na Mboga za majani. ⚫ Kuishi karibu na mtu mwenye vidonda vya tumbo bila kuchukua tahadhar. H.pylori anapoingia katika mwili wa binadamu huathiri uzio mwenye kulinda ukuta wa tumbo na utumbo mdogo (protective mucous) hali hii hupelekea kudhoofika kwa kuta katika tumbo na utumbo mdogo. Ukuta huu unapodhoofika husababisha Tindikali (Asidi) inayozalishwa tumbo kuunguza na kuuchimba ukuta wa tumbo pia Bacteria hawa huchimba ukuta wa tumbo na KUSABABISHA kutokea vidonda katika ukuta wa tumbo...

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, CHANZO, DALILI NA TIBA YAKE ASILIA

Ufafanuzi wa jumla wa tatizo la nguvu za kiume na tiba yake​ Kuishiwa nguvu za kiume ni jambo la kawaida kwa wanaume wengi. Ni kushindwa kwa uume kudumu kusimama barabara kwa ajili ya tendo la ndoa, au kuwahi kufika kileleni. Tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume huongezeka siku had I siku. Tafiti mbalimbali zinasema wanaume wengi wenye umri kuanzia miaka 35 na kuendelea ndio wanaosumbuliwa na tatizo hili kwa kiasi kikubwa. Wanaume wenye elimu ndogo juu ya utendaji kazi wa mwili na afya ndio wanaokabiliwa sana na tatizo hili. Hii ni kutokana na kwamba wengi wao wanakuwa hawaelewi aina ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume na za mwili kwa ujumla, namna wanavyotakiwa kuishi ili kupunguza janga hilo, wanakunywa pombe na hawajishughulishi na mazoezi ya viungo. Mazoezi ya viungo hupunguza tatizo la kuishiwa nguvu za kiume kwa asilimia kubwa sana. Kupungukiwa nguvu za kiume kunaweza pia kuwa kumetokana na mambo ya kihisia, kwa kiingereza ‘emotional causes’. Vitu vingine vinavyoweza kusababi...

DAWA YA KUTIBU JINO UKIWA NYUMBANI

DAWA YA KUTIBU MENO KWA HARAKA NA UHAKIKA Dawa hii imeniponesha mm mwenyewe nilikuwa nasumbuliwa na jino la juu na ndipo nilipoamua kuandaa dawa hii na imenitibu kwa HARAKA na ufanisi wa Hall ya juu sana na bado sijapatapo kuona dawa nzuri kama hii,huna haja ya kung'oa meno yako baada ya kuifahamu dawa hii eti kwasababu yanauma Mahitaji 1.✍ Mafuta ya karafuu/clove oil. 2.✍ mafuta ya Nazi/coconut oil. 3.✍ Kitunguu maji. 4.✍ Kitunguu swaum. 5.✍ Pilipili manga. 6.Chumvi ya mawe/unga wake MAANDALIZI Ponda ponda Kitunguu maji,Kitunguu swaumu,chumvi ya mawe na pilipili manga kisha changanya na mafuta na Nazi na mafuta ya karafuu kwa kiasi kidogo (robo kijiko kidogo cha chai) kisha chukua mchanganyiko huu kisha uweke juani kwa muda wa dakika 15 kisha toa juani MATUMIZI 1.ikiwa jino lina tundu chukua uji uji wa mchanganyiko huu kisha weka katika tundu na mafuta yake yapakaae pembezoni mwa jino linalouma. 2.ikiwa jina halina tundu pakaa mafuta ya mchanganyiko huu pembezoni kulizunguka jino...