DAWA YA KUONGEZA UWINGI WA MANII NGUVU ZA KIUME NA UBORA WA MBEGU ZA MWANAUME
Mwanaume mwenye uwezo wa kuzalisha anahitaji kuwa na mbegu zisizopungua milioni 20, chochote chini ya hapa kinaweza kuwa sababu ya kutokutungisha mimba.
🍉Ikitokea umegundulika kuwa na mbegu chache, ni nyepesi sana na hazina nguvu za kukimbia vya kutosha basi makala hii itakupa maelezo juu ya mbinu 10 zinazoweza kukusaidia kuongeza uwingi wa mbegu zako bila gharama yoyote.
VISABABISHI VYA MBEGU
KUWA CHACHE
🍉Kuna vitu vingi vinavyoweza kusababisha tatizo la mbegu chache na ugumba kwa ujumla kwa wanaume, kwa bahati nzuri vingi ya vitu hivyo tunao uwezo wa kuvidhibiti kwa kupunguza matumizi yake.
Vitu hivyo ni pamoja na:
⚫Vifaa vya kieletroniki – Tafiti zimeonyesha vifaa vingi vya kisasa vya kieletroniki vinasababisha kushuka kwa wingi na ubora wa mbegu kwa wanaume wengi miaka ya sasa kwani mionzi yake hupelekea joto lisilohitajika katika mifuko ya mbegu za kiume.
Vifaa hivi ni pamoja na simu na Kompyuta.
Unashauriwa kutokuweka simu ndani ya mfuko wako wa suruali kwa kipindi kirefu na kutokuweka kompyuta mpakato (laptop) kwenye mapaja yako wakati wote ukiitumia.
Ni mhimu pia kutokutumia masaa mengi kutwa nzima ukiwa kwenye kompyuta.
⚫ Vifaa vya Intaneti visivyotumia waya – Siku hizi tofauti na zamani, kuna teknolojia mpya imeingia ya kuunganisha intaneti kwa kutumia vifaa visivyotumia waya (wireless internet) au kwa lugha nyepesi hujulikana kama Wi-Fi.
Vifaa hivi vinapunguza wingi wa mbegu, uwezo wa mbegu kukimbia na kuharibu muundo asili wa mbegu kwa ujumla (DNA fragmentation).
Wanaume wenye tatizo la uzazi wanashauriwa kutotumia aina hii ya vifaa vya kuunganishia intaneti kwenye kompyuta zao na vile vile kutokuweka simu kwenye mifuko yao ya mbele ya suruali.
⚫ Uvutaji wa Sigara – Uvutaji sigara, bangi na bidhaa nyingine za tumbaku huharibu ubora wa mbegu za kiume.
Hilo halihitaji majadiliano. Habari njema ni kuwa madhara yaliyosababishwa na uvutaji sigara yanaweza kurekebishika ikiwa tu utaamua kuacha kuvuta.
Huhitaji dawa kuacha kuvuta sigara, unahitaji kuamua tu kwamba sasa basi na hakuna lisilowezekana kwa mtu mwenye maamuzi na mwenye ndoto za maisha mazuri ya kiafya.
Vingine vya kuviacha ni pamoja na bangi na madawa mengine yote ya kulevya.
⚫ Viuavijasumu na homoni katika vyakula – Viuavijasumu (pesticides) vinavyotumika katika mazao mbalimbali mashambani miaka ya sasa ni sababu mojawapo ya tatizo la homoni kutokuwa sawa kwa wanaume wengi.
Kwenye bidhaa nyingi za maziwa za viwandani sasa huongezwa homoni kama vile homoni ya estrogeni ambazo hazihitajiki katika mwili wako.
Vyote hivi vina madhara katika afya ya mwanaume.
⚫Vyakula vyenye soya – Vyakula vyenye soya ndani yake hasa vile vya viwandani kama vile maziwa ya soya, burger za soya nk si vizuri kwa afya ya uzazi ya mwanaume.
Vinasemwa moja kwa moja kuathiri ubora wa homoni ya testosterone homoni mhimu sana kwa afya ya uzazi wa mwanaume
.
⚫Unywaji pombe – Katika moja ya utafiti kwa wanaume wenye mbegu zenye ubora wa chini, matumizi ya kupitiliza ya unywaji pombe yalionyesha kuhusika na kupungua kwa mbegu za kawaida yaani mbegu nzuri zinazofaa kwa ajili ya uzazi.
⚫Matumizi ya vifaa vya plastiki – Wakati kifaa cha plastiki kinapowekewa chakula cha moto hutoa kitu kijulikanacho kama ‘xenohormones’ ambacho huigiza kama ni ‘estrogen’ ndani ya mwili na hivyo kupelekea matatizo kwenye mfumo wa uzazi wa mwanaume.
🛇Joto kupita kiasi (Hyperthermia) – Mifuko ya mbegu za uzazi ya mwanaume inahitaji joto la chini kidogo ya lile joto la mwili kwa ujumla ili mbegu zibaki na afya.
Inasemekana kuwa hii ndiyo moja ya sababu viungo vya uzazi vya mwanaume vipo karibu nje kabisa ya mwili wake.
Joto linajulikana wazi kuharibu ubora wa mbegu na hivyo itakuwa vizuri kuepuka mazingira ambayo yanaweza kusabbaisha joto la moja kwa moja kwenye viungo vya uzazi vya mwanaume ikiwemo kuepuka kuvaa nguo za ndani zinazobana sana.
⚫Mfadhaiko (Stress) – Mfadhaiko au stress inaweza kuleta majanga makubwa katika homoni na kupelekea kushuka kwa uzalishaji wa mbegu za kiume.
Stress inahusika sana na tatizo la ugumba kwa wanaume wengi, na moja ya sababu ya stress hii ni ile hamu yenyewe ya kuwa na mtoto inapokujia kila mara kichwani.
Vile vile kuna presha kutoka kwa wazazi, ndugu jamaa na marafiki kwamba kwanini huzai.
Hivi vyote ukiviweka kichwani na kuviwaza kila mara ni rahisi kwako kupatwa na tatizo la kupungua kwa mbegu na uzazi kwa ujumla.
Kuwa na amani, mwamini Mungu kwamba siku yako ipo, just relax kila kitu kina muda wake.
⚫Aina ya chakula unachokula – Chanzo kingine cha kuwa na mbegu chache au zisizokuwa na afya ni kutokula chakula sahihi na cha kutosha kila siku.
Kwa afya bora kabisa ya uzazi mwanaume anahitaji vyakula vyenye madini ya zinki (zinc) kwa wingi, selenium, Vitamin E, folic acids, Vitamini B12, Vitamini C na vyakula mbalimbali vinavyoondoa sumu mwilini (antioxidants).
⚫Kujichua (punyeto) – Hili ni janga kubwa miongoni mwa wanaume wengi wengi karibu kote duniani. Tabia hii ukiianza huwa ni vigumu kuiacha na ni rahisi sana kugeuka kuwa teja wa punyeto.
Madhara makubwa ya kujichua ni pamoja na kupungua kwa kasi kwa uwingi wa mbegu kwa mwanaume pia nguvu zake kwa ujumla na hivyo kutokuwa na uwezo wa kumpa mwanamke ujauzito.
SULUHISHO LA NGUVU ZA KIUME NA UCHACHE WA MBEGU ZA UZAZI
JINSI AMBAVYO DAWA YA *TESTO PLUS* hufanyakaz katika kurefusha na kunenepesh Uume PAMOJA NA KUONGEZA UWINGI WA MANII/SHAWAHA NGUVU ZA KIUME
⤵️⤵️⤵️⤵️⤵️⤵️
1.đź–‡️Huimarisha sehemu katika Uume iitwayo *CORPORA CAVERNOSA* ambayo huwezesha Uume kusimama imara. Dawa hii ina viambata ambavyo husaidia kuruhusu damu zaidi kuelekea katika Uume na kupelekea Uume kusimama imara kwa muda mrefu,damu zaidi kuelekea katika *Corpora Cavernosa* husababisha Kupanuka maradufu kwa Uume (penile tissues) na hii husaidia kwa urefu na upana wa Uume na kuongezeka kwa hamu ya kufanya tendo la ndoa.
2.đź–‡️Dawa hii hurekebisha mfumo wa Hormone.
-Dawa hii inaviambata ambavyo huongeza kiasi cha hormone *(Testosterone hormone)* ambayo ndio hormone kuu katika kuendesha tendo kwa mwanaume na kuongeza uimara wa kusimama kwa Uume na hamu ya kufanya tendo la ndoa. Kuwepo kwa kiasi cha ziada cha Testosterone hormone mwilini husaidia kuongezeka kwa Urefu na Upana wa Uume kadri mtu anavyozid kutumia dawa hizi.
3.đź–‡️ Husaidia kuhuisha(kurejesha) chembechembe zilizokuwa zimeharibika/kutoweka *(Cell regeneration)*
-Kutanuka kwa sehemu inayosaidia Uume kusimama (Corpora Cavernosa) ambayo husaidia Uume kusimama imara,mwili hutakiwa kuzailisha chembe mpya za ziada kwa haraka zaidi.Dawa hii ina kiasi kingi cha *antioxidants* ambazo husaidia mwili kuzalisha chembe mpya ambazo hupelekea kuongezeka kwa Urefu na Upana wa Uume.
4.đź–‡️ Dawa hii huupa mwili Nguvu za ziada.
-Dawa hii ina kiasi kingi cha viambata dawa ambavyo vina uwezo mkubwa wa kuupa mwili nguvu za ziada ambazo humsaidia mwanaume kufurahia tendo la ndoa kwa ukamilifu.
5.đź–‡️ Dawa hizi huipa nguvu misuli na na huzibua mishipa ya damu na kupelekea Uume kuwa imara zaidi unaposimama na husimama kwa muda mrefu ,hali hii humsaidia mwanaume kuweza kuhimili tendo la ndoa kwa muda mrefu na kuweza kurudia tendo zaidi ya Mara moja bila kuchoka.
Dawa hii ina viambata dawa muhimu sana kwaajili ya kazi inayofanya mfano wa viambata hivyo ni *antioxidants,Zinc,Vitamin B6,Vitamin D nk*
*NB:* DAWA ZA KUCHUA KWAAJILI YA KUREFUSHA DHAKAR HUFANYAKAZ KWA KUREFUSHA MISULI YA UUME KWASABABU MISULI YA UUME NI ELASTIC (Ina uwezo wa kuvutika)
WASILIANA NASI KWA MAELEZO ZAIDI
Dr Liwaya
+255755162724
Dar es salaam, Ilala.
Comments