Skip to main content

VYAKULA AMBAVYO NI VIZURI SANA KWENYE KUSAIDIA NA KUIMARISHA MFUMO WA UZAZI WA MWANAUME

 VYAKULA AMBAVYO NI VIZURI SANA KWENYE KUSAIDIA NA KUIMARISHA MFUMO WA UZAZI WA MWANAUME




NAFAKA

●Nafaka husaidia katika kuzalisha homoni za testosterone, pia huwezesha mtu kuwa na nguvu tele hatimaye kuongeza nguvu zake za kiume kutokana na virutubisho mwili unavyopata. 


▪︎Vyakula vya nafaka vimesheheni nishati nyingi, nafaka zina nyuzinyuzi (fibres) na sukari

ambazo kusaidia kutunza uzito wa mwili.


▪︎Kula nafaka zisizokobolewa kama vile brown bread badala ya white bread, pia kula nafaka halisi

badala ya cornflakes ni jambo zuri kiafya zina saidia kutokupa mwili wa mafuta mengi, 


▪︎ikumbukwe uwepo wa mafuta mabaya yana athiri mishipa ya damu ikiwamo ya uume.



TANGAWIZI

●Tangawizi ni aina ya kiungo mizizi ambacho husisimua sana mfumo wa mzunguko wa damu mwilini. 

▪︎Mzunguko unapokuwa mzuri huwezesha damu kwenda sehemu za viungo vya uzazi ikiwamo uume. 


▪︎Tangawizi imekuwa ikitumika sana maeneo ya Asia kwa ajili ya wanaume wenye tatizo la nguvu

za kiume. 


▪︎Pia baadhi ya Viungo ambavyo viko katika pilau ni mojawapo ya vitu ambavyo miaka na miaka imetumika

maeneo ya Asia na Amerika ya Kaskazini kama viungo vyakula vinavyoimarisha nguvu za kiume.



KOMAMANGA

●Komamanga (Pemigranate) ni aina ya matunda yenye rangi nyekundu na mwonekano kama apple. 


●Tunda hili husaidia kuamsha mishipa ya fahamu na kuweka mawasiliano sahihi ya mwili na hivyo kumwongezea mtu uwezo kwa kufanya tendo la ndoa kwa hamasa kubwa. 


●Hivyo humfanya mtumiaji kupokea hisia za mapenzi kwa urahisi zaidi.



*MBEGU MBALI MBALI ZA MATUNDA, IKIWEMO TIKITIMAJI NA MBEGU ZA MABOGA*

●Mchanganyiko wa mbegu mbalimbali za matunda ikiwamo tikiti maji na mbegu za maboga husaidia

kuondoa ACID mwilini na kuupa mwili virutubisho tele vinavyoimarisha afya ya uzazi wa mwanaume na kumfanya mtu awe mwenye afya njema.



ASALI

●Asali Ina madini yanayoitwa boron ambayo husaidia mwili kutumia homoni. 


●Hata vitabu vya dini hueleza ulaji wa asali na masega yake kama mlo wenye kuupa mwili nguvu. 


•Pia Zipo tafititi lukuki kuhusu faida za asali, faida mojawapo ikiwamo  kusaisia kuongeza nguvu za kiume.



KARANGA

●Karanga.

-Huhusika moja kwa moja na kutunza mfumo wa mzunguko wa damu kuwa na afya. Husaidia

kuimarisha mzunguko wa damu katika maeneo ya uzazi 


▪︎hivyo kuongeza msisimko wa tendo.

▪︎Pia karanga zina madini muhimu kama vile madini ya magineziamu, tindikali ya foliki na madini ya zinki ambayo ni muhimu sana katika uzalishaji wa mbegu za mwanaume na kuongeza hisia.



BLUEBERRY

●Blueberry ni matunda yanayosaidia sana kuongeza nguvu za kiume, wengi hupendelea kuyaita "viagra asilia" kutokana na kazi inayoifanya mwilini. 


●Blueberries ina virutubishi vinavyoimarisha mishipa ya damu na kusaidia mzunguko mzuri wa damu mwilini.

▪︎ Damu ndio kila kitu katika nguvu

za kiume. 


▪︎Vilevile, blueberries zina nyuzinyuzi ambazo husaidia kuondoa kolesteroli

(Cholestrol) mwilini kabla haijanganda kwenye mishipa ya damu. 


▪︎Kuwa na mzunguko mzuri wa

damu husaidia mwanaume aweze kuhimiri tendo la ndoa kwa muda mrefu zaidi.



MTINI (FIGS)

●Mtini (Figs) ni matunda yenye kiwango kikubwa cha amino asidi, ambayo ni kiungo kikubwa katika

kuzalisha homoni mwilini. 


●Homoni ndio kishawishi cha nguvu za kiume mwilini. 


●Kukosa amino asidi huweza kusababisha kukosa hamu ya mapenzi au kupungukiwa na nguvu za kiume.



VITUNGUU SAUMU

●Vitunguu saumu vina allicin, kiambato kinachosaidia mzunguko mzuri wa damu kwenye viungo

vya uzazi. 


●Kuwa na mzunguko mzuri wa damu kwenye uume ni sababu kubwa ya kuongeza stamina katika tendo la ndoa.



NDIZI

●Kuwa na stamina ni muhimu katika ufanyaji mapenzi. 


●Ndizi ni chanzo kikubwa cha vitamin B ambayo husaidia sana katika kuongeza stamina na nguvu mwilini hasa wakati wa kufanya kazi nzito. 


●Ndizi ina kimeng’enyo cha Bromelain ambacho huongeza nguvu za kiume, ashki ya mapenzi

(libido).



MIZIZI YA MACA

●Maca Root Ni mmea maarufu sana huko Brazil ambao umekua ukitumiwa na wanaume na wanawake wengi ili kuwapa nguvu ya muda mrefu,kuondoa stress,afya ya uzazi,kubalance hormone,na kuwapa

hamu ya tendo la ndoa,n.k

N.k....

●Binafsi ninashauri kutumia njia asilia katika kutatua matatizo yako yote ya kiafya. Mwili una njia

zake za kurekebisha kila kitu. 


▪︎Ukiona kuna tatizo inaashiria kuna upungufu ambao unatakiwa

kurekebishwa. 


▪︎Kutumia madawa makali hudhoosha mwili na hivyo kuupunguzia uwezo wa

kufanya kazi kama inavyotakiwa. 


▪︎Ni vizuri kama utamuona daktari kama ukiona hakuna

kinachowezekana kabla hujaanza kutumia madawa.



📌Mara nyingi njia asilia hutumia muda mrefu kuleta mabadiliko, lakini matokeo yake hudumu zaidi kuliko kutumia madawa makali ambayo hu-BOOST na hayatibu.


Dr Liwaya

0755162724

Comments

Popular posts from this blog

ZIJUE FAIDA,MADHARA YA KITUNGUU SWAUMU KATIKA MWILI WA BINADAMU

MAGONJWA YANAYOTIBIKA KUPITIA KITUNGUU SAUMU Huyeyusha mafuta mwilini (kolestro) Husafisha njia ya mkojo na kutibu U.T.I Hutibu amoeba, minyoo na Bakteria wengine Huzuia kuhara damu (Dysentery) Huondoa Gesi tumboni Hutibu msokoto wa tumbo Hutibu Typhoid Huondoa mabaka mabaka kwenye ngozi Hutibu mafua na malaria Hutibu kifua kikuu (ukitumia kitunguu swaumu kesho yake unaweza kutokwa na makohozi mengi tu ambayo ni ishara kwamba kweli kinatibu kifua kikuu (TB) Hutibu kipindupindu Hutibu upele Huvunjavunja mawe katika figo Hutibu mba kichwani Huupa nguvu ubongo. Kazi nzuri niliyopenda zaidi katika kitunguu swaumu. Huzuia meno kung’ooka na kutuliza maumivu Huongeza SANA nguvu za kiume pia hutibu uanithi (kushindwa kusimama kabisa uume) Hutibu maumivu ya kichwa Hutibu kizunguzungu Hutibu shinikizo la juu la damu Huzuia saratani/kansa Hutibu maumivu ya jongo/gout Huuongezea nguvu mfumo wa mmeng’enyo wa chakula Huongeza hamu ya kula Huzuia damu kuganda Husaidia kutibu kisukari Husaidia kutibu ...

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, CHANZO, DALILI NA TIBA YAKE ASILIA

Ufafanuzi wa jumla wa tatizo la nguvu za kiume na tiba yake​ Kuishiwa nguvu za kiume ni jambo la kawaida kwa wanaume wengi. Ni kushindwa kwa uume kudumu kusimama barabara kwa ajili ya tendo la ndoa, au kuwahi kufika kileleni. Tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume huongezeka siku had I siku. Tafiti mbalimbali zinasema wanaume wengi wenye umri kuanzia miaka 35 na kuendelea ndio wanaosumbuliwa na tatizo hili kwa kiasi kikubwa. Wanaume wenye elimu ndogo juu ya utendaji kazi wa mwili na afya ndio wanaokabiliwa sana na tatizo hili. Hii ni kutokana na kwamba wengi wao wanakuwa hawaelewi aina ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume na za mwili kwa ujumla, namna wanavyotakiwa kuishi ili kupunguza janga hilo, wanakunywa pombe na hawajishughulishi na mazoezi ya viungo. Mazoezi ya viungo hupunguza tatizo la kuishiwa nguvu za kiume kwa asilimia kubwa sana. Kupungukiwa nguvu za kiume kunaweza pia kuwa kumetokana na mambo ya kihisia, kwa kiingereza ‘emotional causes’. Vitu vingine vinavyoweza kusababi...

ZIFAHAMU SABABU ZINAZOWAFANYA MZUNGUKO WA HEDHI KUBADILIKA

Kwa kawaida, mizunguko ya hedhi hukaa kwa siku nne hadi saba. Kwa mfano matatizo ya mzunguko wa hedhi ni Pamoja na mizunguko ambayo hutokea chini ya siku 21 au Zaidi ya siku 35, ukakosa hedhi siku tatu au Zaidi, na mtiririko wa damu ya hedhi ambayo ni nyingi na ya muda mrefu sana au kutokwa na damu ya hedhi nyepesi kuliko kawaida. Je, Mzunguko Wa Hedhi Wa Kawaida Ukoje? Wanawake wengi wanapata kipindi cha hedhi ambacho huchukua siku nne hadi saba. Kipindi cha hedhi cha mwanamke kwa kawaida hutokea kila siku 28, lakini mzunguko wa kawaida wa hedhi unaweza kuanzia siku 21 hadi 35. Mfano wa matatizo ya mzunguko wa hedhi ni kama hii: Vipindi vya hedhi ambavyo hutokea chini ya siku 21 au Zaidi ya siku 35 Kukosa hedhi vipindi vitatu au mfululizo Kutokwa na damu nyingi ya hedhi au nyepesi kuliko kawaida Kipindi cha hedhi ambacho hukaa kwa muda Zaidi ya siku saba Vipindi vya hedhi ambavyo huambatana na maumivu, kichefuchefu au kutapika Kutokwa na damu ya hedhi mara mbili kwa mwezi au matone y...